Search

154 results for Fina Lyimo :

  1. Tanzania kushirikiana na China masuala ya uhamiaji

    Nchi ya China imesaini mkataba wa makubaliano na Tanzania kwa ajili ya kuimarishwa uhusiano kati ya Jeshi la Uhamiaji la Tanzania na la China.

  2. Wadau waja na mbinu kudumisha mila Kilimanjaro

    Wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya Mkoa wa kilimanjaro, wameanza kuchukua hatua za kukabiliana na vitendo vya mmomonyoko wa maadili kwa kukutanisha viongozi wa koo za makabila mbalimbali...

  3. Mafuriko yaleta balaa Simanjiro, 100 hawana makazi

    Simanjiro. Wananchi 100 kutoka katika Kijiji cha Kandoto, Kata ya Msitu wa Tembo, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, hawana makazi baada ya nyumba 27 zenye jumla ya familia 42 kuanguka na...

  4. Serikali yaombwa kupunguza gharama kupanda Mlima Kilimanjaro

    Arusha. Serikali imeombwa kupunguza gharama ya viingilio kwa Watanzania wazawa katika kupanda Mlima Kilimanjaro ili waweze kushiriki kikamilifu maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru katika kilele cha...

  5. Wananchi watakiwa kutumia ‘birthday’ zao kupanda miti

    Viongozi wa dini nchini wameshauriwa kuwahamasisha wananchi kutumia siku za kumbukumbu zao za kuzaliwa (birthday ) kupanda miti katika maeneo mbalimbali yanayowazunguka, kama sehemu ya zawadi...

    New Content Item (1)
  6. Madiwani Rombo wahoji makato ya bima bila matibabu

    Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro wamelalamikia utaratibu wa kujigharamia malipo ya huduma za afya huku wakikatwa fedha ya bima ya afya kwa kipindi cha miezi mitatu...

  7. ‘Watuhumiwa ripoti ya CAG watajwe’

    Moto uliowashwa na ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), unaendelea kusambaa nchini, safari hii wananchi mbalimbali wamecharuka wakitaka majina ya wanaotajwa yawekwe...

  8. Twende zetu kileleni yaongeza njia mbili

    Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika Desemba 9 mwaka huu, zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro linatarajiwa kufanyika Desemba 3, 4 na 5, mwaka huu, huku zikiongezwa njia...

  9. Wasomi wasioona wakumbukwa

    Wanafunzi wasioona 20 kutoka vyuo vikuu vitano nchini, wamepewa vifaa saidizi vya kuwawezasha kufanya kazi kwa teknolojia ya kisasa, vyenye thamani ya zaidi ya Sh200 milioni, kutoka Shirika la...

  10. Wananchi waliokosa maji kwa miaka 50 wakumbukwa

    Mwaipaya amesema kijiji hicho kinakabikiwa na adha ya ukosefu wa maji tangu kuanzishwa kwake na kwamba kwa sasa Serikali imeanza kutatua changamoto hizo ili kuwezesha wananchi kupata huduma bora.

Page 1 of 16

Next